Mbona husemmi simba ilivyoingia robo fainali kule kulikuwa na TFF, NA HILO HAPO JUU NI CHANGA LA MACHO kwa kuwa wanajua mashabiki wa Yanga wengi soka lao ni la kwenye magazeti, sio kwa bakuli bro!!!!!!!
😆😆😆 mnategemea mbeleko, mwajsni tutaongeza team tatu ili tuwe wanne kimataifa. Poleni mwaka Jana tuliishia round ya awali hivyo hatukuwabeba. Mwaka huu fainali tumo tutaongeza team nanyi tutawabeba maana uwezo wa kujibeba Hamna.
Washabiki wa yanga kweli Manyani hiyo picha si ya uhalisia ni kitu cha kutengeneza alafu mnaongopewa eti timu iko kwenye hiyo kambi yani hata kujiuliza hamjiulizi da kweli yule kocha hakukosea kuwaita lile jina la manyani , yani ndo napata picha ya kwanini mlibeba yule jamaa
Unacho kionyesha ni nini?
ReplyDeleteNdiyo hivyo nenda Kigamboni ujionee
ReplyDeleteIkiwa kambi ndio hiyo tumeshaiona, lakini tunachotaka kujiona na kile cha uwanjani na hasa mtapokuja kuwafesi G4 na King Morrison akiwa ndani
ReplyDeleteMkiya fc si mumesema hamshindani na yanga anga zenu mazembe
DeleteTunakung'uta wotewote, nyumbani tushapiga na tutaendelea kupiga na nje tutachanua, ninyi endeleeeni kupost picha za kuedit tu.
DeletePicha za kuedit ni zipi???
DeleteYeboyebo/gongowazi/utopolo/chura/mkia FC, aisee mmebarikiwa majina lkn uwanjani sifuri.
ReplyDeleteWe unaakili ndogo Kama tako la mtoto mdogo.
DeleteKwenye ligi uliondoka na pointi moja tu
DeleteNikumbushe na ile ya FA ilikuwaje, mi nilisafiri kidogo nilikuwa nnje ya nchi
DeleteUDsong waliwatoa ktk mechi ya kwanza, eti next level, CAF hakuna TFF
ReplyDeleteMbona husemmi simba ilivyoingia robo fainali kule kulikuwa na TFF, NA HILO HAPO JUU NI CHANGA LA MACHO kwa kuwa wanajua mashabiki wa Yanga wengi soka lao ni la kwenye magazeti, sio kwa bakuli bro!!!!!!!
Delete😆😆😆 mnategemea mbeleko, mwajsni tutaongeza team tatu ili tuwe wanne kimataifa. Poleni mwaka Jana tuliishia round ya awali hivyo hatukuwabeba. Mwaka huu fainali tumo tutaongeza team nanyi tutawabeba maana uwezo wa kujibeba Hamna.
DeleteUtopolooo mmezoea kutafuniwa, ninyi Ni vibogoyo.
ReplyDeleteUtopolo wameenda kupanga nyumba za nhc, hongera.
ReplyDeleteMtegemea cha mtu ufa masikini... mkia kufyata
DeleteUwanja wa Simba upo karibu na makaburi ????
ReplyDeleteWashabiki wa yanga kweli Manyani hiyo picha si ya uhalisia ni kitu cha kutengeneza alafu mnaongopewa eti timu iko kwenye hiyo kambi yani hata kujiuliza hamjiulizi da kweli yule kocha hakukosea kuwaita lile jina la manyani , yani ndo napata picha ya kwanini mlibeba yule jamaa
ReplyDeleteHapa shida Ni kamba au mwonekano ,tatizo mtu unaishi Chanika,sijui Bunju hakuna satellite Cities hutaacha kupinga mandhari Kama hiyo kuwepo
ReplyDeleteHayo mambo ya Senzo mikia tulia mnyolewe
ReplyDeleteSenzo anacheza namba ngapi?
Delete