January 1, 2016


Ilikuwa raha ya aina yake wakati Ibrahim Ajib alipofunga bao lake pekee lililoiwezesha Simba kuituliza Ndanda kwa 1-0 kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, leo.


Lakini utamu zaidi ulikuwa namna ambavyo Ajib alishangilia kwa kutumia kiatu, kama vile alikuwa anazungumza na simu. Basi ni mambo mapya kila mara na ndiyo raha yenye ya soka.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic