August 11, 2020

11 COMMENTS:

  1. Inafikirisha mwezi March Medeama walimsajili huyu mtu kwa mkataba mrefu akiwa ametoka majeruhi Asante Kotoko, leo Yanga wanamtangaza kumsajili akiwa huko huko, wamejiridhisha vip na afya yake? Kwanini Medeama wamemwachia bila kumtumia......................!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ya Yikpe yanaweza kujirudia tena

      Delete
  2. YANGA HUU USAJILI WAO TAKWIMU ZAKE HUYO JAMMA NI NGUMU KUAMINI KAMA KASAJILIWA NA TIMU KUBWA KAMA YANGA.

    ReplyDelete
  3. Waache wawasogezee karibu Simba mchezaji wao.Maana kazi Yanga ni kumtafutia simba wachezaji.

    ReplyDelete
  4. Hajafika bt wamemalizana je ni kweli Mh Sarehe Ally hizi propaganda za kaja lini sijui passport iligongwa lini ,je vibali vya ujio wake alikuwa anakwendq wapi eg mwaliko angalia sheria za uhamiaji Mghana anaingiaje Tz

    ReplyDelete
  5. Enter your comment...hivi morrisoni mnayemgombea na nyie yanga ilijiridhisha kabla?,acha wenge

    ReplyDelete
  6. Duuh..yasijee yakawa ya afadhali ya molinga

    ReplyDelete
  7. Huyo Morrison mnaye mgombea aliletwa na mama yako mkia wewe?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic