Everton imefanikiwa
kusonga robo fainali ya Kombe la FA baada ya kuibutua Oldham Athletic kwa mabao
3-1.
Katika mechi
ya kwanza, Oldham iliwashangaza wengi baada ya kulazimisha sare ya mabao 2-2,
hali iliyofanya mchezo huo urudiwe.
Mabao ya
Everton usiku wa kuamkia leo (Jumatano) yalifungwa na Kevin Mirallas, Osman na Baines. Na sasa Everton
itakutana Wigan katika mchezo unaofuata huku Man City ikicheza Barnsley.
0 COMMENTS:
Post a Comment