Naibu Mkurugenzi
wa BancABC, Misheck Ugaro akizungumza na waandishi katika uzinduzi wa
mashindano ya gofu yaliyodhaminiwa na benki hiyo jana kwenye Viwanja vya
Gymkhana, Dar es Salaam.
Mchezaji wa
gofu wa timu ya Gymkhana, Mo Khimji akipiga mpira wakati wa uzinduzi huo wa
michuano iliyodhaminiwa na BancABC, jana.
Naibu Mkurugenzi
wa BancABC, Misheck Ugaro akipiga mpira wakati wa mashindano hayo jana jijini Dar
es Salaam.
PICHA: Issamichuzi.blogspot.com
0 COMMENTS:
Post a Comment