Sec Half:
FULL TIME
Azam wamesonga mbele kwa jumla ya mabao 8-1 dhidi ya Al Nasir ya Sudan Kusini
Azam FC wanapata bao la 5 kupitia kwa mcha Hamis
Azam FC wanapata bao la nne kupitia Kipre ingawa kuna utata kidogo kuhusu mfungaji
Mashambulizi ni kwa zamu ingawa wenyeji wanaonekana kutokuwa na hatari yoyote
Bocco anaipatia Aza bao la tatu
Bao la Bocco ni dalili kuwa hakuna namna ya kuizua Azam FC kusonga mbele
FULL TIME
Azam wamesonga mbele kwa jumla ya mabao 8-1 dhidi ya Al Nasir ya Sudan Kusini
Azam FC wanapata bao la 5 kupitia kwa mcha Hamis
Azam FC wanapata bao la nne kupitia Kipre ingawa kuna utata kidogo kuhusu mfungaji
Mashambulizi ni kwa zamu ingawa wenyeji wanaonekana kutokuwa na hatari yoyote
Bocco anaipatia Aza bao la tatu
Bao la Bocco ni dalili kuwa hakuna namna ya kuizua Azam FC kusonga mbele
Half time
Wafungaji wa Azam ni Bocco na Mcha
Hadi timu zinakwenda mapumziko, vijana wa Kitanzania...
Azam wanaongoza kwa mabao mawili
Hadi timu zinakwenda mapumziko, vijana wa Kitanzania...
Azam wanaongoza kwa mabao mawili
Al Nasr wanaendelea
kulisakama lango la Azam FC
Hata hivyo vijana wa Hall
wanaonekana kutulia zaidi
0 COMMENTS:
Post a Comment