April 15, 2013


Beki wa Azan FC, Agrey Morris ambaye amrudishwa kundini hivi karibuni juzi aliishuhudia timu yake ikipambana wakati akiwa jukwaani.


Wakati wachezaji wa Azam wanaingia na kutoka vyumbani, wakati mwingine Morris aliangalia au kuamua kuangalia pembeni kabisa.


Beki huyo kisiki katika timu ya taifa, Taifa Stars alikuwa mtulivu akifuatilia mchezo huo kwa umakini mkubwa. Matokeo ya mwisho yalikuwa bao 2-2.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic