April 16, 2013




Hakuna anayeweza kubisha kuwa mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi ana uwezo mkubwa wa kumiliki mpira kama unavyoona.
Ana uwezo wa kuudhibiti na kuuweka sehemu yoyote ile, hii huweza kufanywa na wachezaji wachache sana na wengine hawawezi.

Lakini mama huyo wa Kiafrika ana uwezo wa kuwa na uwezo mkubwa zaidi au control ya kutosha zaidi huenda kuliko wachezaji wote duniani.

Angalia akina mama wanavyobeba ndoo za maji huku wakiwa na watoto mgongoni, au mizigo ya ziada na bado 'kitu' kinatulia vilivyo.

Uwezo wake wa kudhibiti vyungu zaidi ya vitano unaonekana, hii maana yake akina mama wa Kiafrika ni noma hasa katika suala la control sema wengi si wanasoka. Au wewe unasemaje?

1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic