April 3, 2013


Mabingwa watetezi wa Tanzania Bara, Simba, leo wameendelea na mazoezi kujiwinda na mechi zilizobakia za mzunguko wa pili.


Chini ya Kocha Mkuu, Patrick Liewig raia wa Ufaransa na Msaidizidi, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Simba ilifanya mazoezi katika viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Inaonekana Simba imepoteza matumaini ya kutetea ubingwa wake huo huku Yanga na Azam FC ndiyo zikifukuzana kileleni.


Tayari Simba iko katika nafasi ya nne lakini imeapa kupambana angalau kupata nafasi ya pili ili ishiriki michuano ya kimataifa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic