April 3, 2013



 Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu akiwania mpira na beki Mbuyu Twite wakati wa mazoezi ya timu hiyo leo kwenye Uwanja wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Yanga inaendelea na mazoezi kwenye uwanja huo kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara zilizobaki.

Kikosi hicho chini ya Mholanzi, Ernie Brandts ndicho kinachopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ingawa Azam FC wanaonekana kuwa ‘tatizo’ kwao.

Joshua na Banda…




Kiiza na Nsajigwa….

 Niyonzima na Cannavaro…

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic