April 16, 2013





Milipuko miwili imeua watu jana jioni kwenye mashindano ya riadha ya Boston Marathoni nchini Marekani.

Milipuko hiyo hatua kadhaa kutoka katika sehemu ambayo wanariadha walitakiwa kumaliza.


Katika mlipuko huo ambao umeleta hali ya taharuki nchini Marekani, watu saba wameripotiwa kupoteza maisha hadi leo asubuhi.

Wengine 144 walitangaza kujeruhiwa na kati yao, 17 walikuwa wamejeruhiwa vibaya sana.


Hata hivyo, mshindi alikuwa amemaliza zaidi ya saa moja na baadhi ya wanariadha wakiendelea kuwasili, mlipuko wa kwanza ulitokea.

Baadaye mlipuko mwingine ulifuatiwa wakati majeruhi wa mlipuko wa kwanza wakiendelea kuokolewa.

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA AMBAZO ZINATISHA, LAKINI NDIYO HALI HALISI YA TUKIO HILO.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic