May 19, 2013



Pamoja na kwamba shabiki huyu wa Yanga alikuwa ameivaa jezi yake ya rangi nyeupe, nyekundu na kijani, bado mashabiki wengine wa Yanga hawakufurahishwa.

Hivyo walimvua kwa nguvu jezi ya Yanga, wakamvua kwa nguvu jezi hiyo ambayo inasadikiwa kuwa ni ya timu ya taifa ya Ureno ugenini.
Baada ya hapo walimtaka aiweke mfukoni na jezi yake ya njano ndiyo akavaa.

Hii ni kawaida katika uwanja wa Taifa, Dar hasa kunapokuwa na mechi ya watani.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic