June 4, 2013




Beki wa Taifa Stars, Erasto Nyoni amepata majeruhi ya paja.
Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura amesema kuwa Nyoni anasumbuliwa na maumivu hayo laini kuna uwezekano wa kuwemo kwenye kikosi kitakachocheza Jumamosi kwenye mechi dhidi ya Morroco. 

Kikosi cha Taifa Stars tayari kipo Marrakech, Morocco kwa ajili ya mechi hiyo ya mchujo ya Kombe la Dunia saa 3 kamili usiku kwa saa za Morocco ambapo ni sawa na saa 5 usiku nchini Tanzania.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic