June 4, 2013






Vijana Watanzania walio mjini hapa, leo wameendelea na mafunzo kuhusiana na mchezo wa soka.

Vijana hao chini ya Fels Project wamekuwa wakifanza mafunzo mbalimbali ikiwemo lugha, kujifunza suala la kuheshimu muda, kusikiliza mafunzo pamoja na mpira.



Vijana hao walifanya mazoezi chini ya Kocha Alex ambaye aliwafundisha namna ya kufunga na kuzuia, lakini namna mpira unavyomilikiwa kwa kufuata mafunzo.


Pamoja na hivyo, walicheza na baadhi za watoto ambao wanaendelea kuchukua mafunzo ya soka ambao umekuwa ni mfumo wa nchi za Ulaya kuwakuza watoto wakianza na mafunzo mapema.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic