June 11, 2013


Na Saleh Ally, Frankfurt
REAL Madrid ni kati ya timu zinazosifiwa kuwa na utaalamu mkubwa katika masuala ya masoko.

Wakali hao, tayari wameanza kuuza jezi zao mpya zizakazotumika katika msimu ujao.

Katika miji mitatu ambayo Salehjembe imetembelea kwa siku tano tayari kuna jezi za Real Madrid zenye chata ya Fly Emirates.

Wakati Madrid wameanza kuuza jezi mpya, wenyeji kama Borussia Dortmund na mabingwa wa Ulaya, Bayern Munich bado wamelala.


Maduka mengi ya michezo kama Freiburg, Wiesbaden na hapa Frankfurt tayari yana uzi huo mpya wa Madrid.


Katika maduka hayo, bado jezi ya timu za Ujerumani zinazouzwa ni zile za msimu uliopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic