August 9, 2013



Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott amesema atamkaribisha Luis Suarez ikiwa atatua klabuni hapo lakini akasisitiza kuwa Arsenal bado ni timu bora bila hata ya Suarez anayewaniwa kwa nguvu.
Hivi sasa kumekuwa na sekeseke kubwa juu ya uhamisho wa mchezaji huyo wa Liverpool, ambapo anataka kuondoka klabuni hapo lakini uongozi unamzua, Arsenal ndiyo inayotajwa kumuwania kwa ukaribu zaidi.

“Kama (Suarez) akija, itakuwa vizuri,” aliasema Walcott na kuendelea: “Hata kama tutabaki kama tulivyo, bado tuna timu nzuri kama tulivyoonyesha katika mechi 10 za mwisho msimu uliopita.”

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic