Kiungo nyota
wa Real Madrid, Gareth Bale ameibuka na kufunga mabao mawili wakati timu yake
ikiichakaza Sevilla kwa mabao 7-3.
Bale ambaye
alikuwa anaonekana kama ameshindwa ‘kufanya kazi’ kulingana na gharama yake ya
pauni milioni 86 ambayo ni ghali zaidi, sasa ameonyesha kwamba si ‘simba mzee’.
Mabao yake
mawili katika dakika ya 13 na 27 kabla ya Cristiano Ronaldo kupiga matatu na
Karim Benzema mawili.
Kutokana na
ushindi huo, Real Madrid imepaa hadi nafasi ya tatu nyuma ya Atletico Madrid na
Barcelona.
Real
Madrid: Diego López, Arbeloa, Varane, Ramos, Marcelo, Illarramendi (Alonso
64), Khedira (Di Maria 82), Bale, Isco (Modric 71), Ronaldo, Benzema.
Subs not used: Casillas, Pepe, Carvajal,
Morata.
Goals: Bale 13, 27, Ronaldo (pen)
32, 60, 71, Benzema 53, 80.
Booked: Ramos, Arbeloa, Khedira.
Sevilla: Beto, Pareja, Carriço,
Navarro, Figueiras, Rakitic, Mbia, Alberto, Jairo (Perotti 62), Vitolo (Reyes
83), Bacca (Gameiro 62).
Subs not used: Javi Varas, Cala, Iborra, Coke.
Goals: Rakitic (pen) 38, 63, Bacca
40.
Booked: Alberto, M'Bia.
Sent off: M'Bia (76).
0 COMMENTS:
Post a Comment