Kikao cha Kamati ya Utendaji ya TFF
kilichokaa kimeamua kumng’oa madarakani aliyekuwa katibu mkuu, Angetile Osiah.
Nafasi ya Osiah sasa inashikwa na
msemaji wa TFF, Boniface Wambura hadi hapo atakapotagazwa atakayeshika nafasi
hiyo.
Kikao hicho chini ya Rais mpya wa TFF,
Jamal Malinzi kimeonyesha kutoridhishwa na utendaji wa Oshia ambaye ni mmoja
waandishi waandamizi wa michezo nchini.
0 COMMENTS:
Post a Comment