Dakika chache baada ya mechi ya Ligi Kuu
Bara kati ya Azam FC na Mbeya City, Kocha Stewart Hall ametangaza kuachana na
Azam FC.
Hall amesema anaachana na Azam FC baada
ya kupata ofa kubwa iliyomshawishi kuichukua.
Hata hivyo, kabla SALEHJEMBE ilipata
taarifa za uongozi wa Azam FC kumuambia Hall kwamba hahitajiki.
Hii ni mara ya pili anaondoka, kabla
aliachishwa kazi na kurejea kwao England, baadaye akarudi na kutoa Kenya ambako
aliifundisha Sofapaka.
Azam FC iliyomchukua Boris Bunjac wa
Serbia walishindwana naye na baadaye na kumuita tena ainoe.
0 COMMENTS:
Post a Comment