MZEE KINESI |
Aliyekuwa akikaimu nafasi ya Umakamu uenyekiti wa
Simba, Joseph Itang’are ‘Mzee Kinesi sasa ndiye mwenyekiti mpya Simba.
Itang’are alikuwa akikaiumu nafasi iliyokuwa
inashikiliwa na Kaburu aliyeamua kuachia ngazi.
Sasa ndiye atakuwa mwenyekiti mpya wa Simba,
saa chache tu baada ya mwenyekiti, Ismail Aden Rage kusimamishwa.
Mmoja ya wajumbe wa kamati ya utendaji, Swed
Nkwabi yeye ameteuliwa kuwa kaimu makamu mwenyekiti.
0 COMMENTS:
Post a Comment