Mvua kidogo tu, jiji la Dar es Salaam
kutokana na kukosa miundombinu bora, kila sehemu hakupitiki, mafuriko.
Lakini hata ofisi za makao makuu ya
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumbe yaleyale.
Nako hakuna miundombinu bora, maana mara
baada ya mvua kwisha hali ilikuwa mbaya hasa kwa watembea kwa miguu.
Maji kibao, kupita hadi ujiibe pembeni
na wengine walilazimika kuvua viatu na kukunja suaruali.
Rais mpya wa TFF, Jamal Malinzi hajaona
hali ilivyokuwa lakini kupitia SALEHJEMBE kwa kuwa huwa hakosi kupofya, basi
atajionea mwenyewe.
0 COMMENTS:
Post a Comment