Kocha Mkuu mpya wa Azam FC, Joseph Omog amewatua nchini na
muda mchache ujao aitaingia mkataba mpya wa kuinoa timu hiyo.
Omog anachukua nafasi ya Stewart Hall
ambaye alimalizana na Azam FC na kuamua kuondoka zake kabla ya kupata dili la
Symbion.
Kocha huyo amewasili na ndege ya Shirika
la Ndege la Kenya ‘KQ’ na baada ya hapo amekutana na uongozi wa Azam FC kwa
ajili ya kusaini mkataba.
0 COMMENTS:
Post a Comment