Safari ya Ufaransa kwenda Kombe la Dunia imeingia doa baada ya kuchapwa bao 2-0 katika mechi ya kwanza ya mtoano dhidi ya Ukraine.
Ingawa walikuwa ugenini, Ufaransa walishindwa kuonyesha upinzani zaidi na kujikuta wakichapwa bao hizo huku beki wao kisiki Koscielny anayekipiga Arsenal akilimwa kadi nyekundu.
Ufaransa italazimika kufanya kazi kubwa katika mechi ya marudiano, la sivyo nyota kibao kama Evra, Benzema, Robery, Nasri na wengine kibao wataikosa michuano hiyo mikubwa zaidi ya soka dunia nchini Brazil, mwakani.
Ukraine: Pyatov, Khacheridi, Shevchuk, Fedetskiy, Kucher, Yarmolenko,
Stepanenko, Konoplyanka (Gusev 90), Rotan, Edmar (Bezus 76), Zozulya (Seleznyov
86). Subs Not Used: Koval, Dedechko, Tymoschuk, Mandzyuk, Morozyuk, Sydorchuk,
Rakitskiy, Devic, Khudzamov.
Sent Off: Kucher (90).
Booked: Shevchuk,Fedetskiy,Kucher.
Goals: Zozulya 61,Yarmolenko 83
pen.
France: Lloris, Debuchy, Abidal,
Koscielny, Evra, Nasri (Valbuena 80), Matuidi, Pogba, Giroud (Benzema 70),
Ribery, Remy (Sissoko 64). Subs Not Used: Mandanda, Mavuba, Sakho, Cabaye,
Clichy, Grenier, Sagna, Payet, Landreau.
Sent Off: Koscielny (90).
Booked: Giroud,Sissoko.
Att: 67,732
Ref: Cuneyt Cakir (Turkey).
Second leg: Saint Denis, Tuesday, 8pm.
0 COMMENTS:
Post a Comment