Mshambuliaji wa Real
Madrid, Cristiano Ronaldo ameweka rekodi ya kufunga mabao 62 kwa mwaka 2013.
Ronaldo ameweka
rekodi hiyo baada ya kufunga mabao matatu katika mechi dhidi ya Sociedaad.
Kwa msimu huu
tayari ana mabao 24, kati ya hayo 16 ni ya La Lila na 8 ya Ligi ya Mabingwa
Ulaya.
Katika mechi nne zilizopita, Ronaldo amefunga jumla ya
mabao tisa na kuweka moja ya rekodi za Hispania za mabao mengi.
Tayari Ronaldo amemtemlemsha Samuel Eto’o katika nafasi
ya kuwa mmoja wa wafungaji bora wa Hispania, alikuwa anashikilia nafasi ya 14.
Mi nilijua kamshusha Messi!! Kumbe Eto!!
ReplyDelete