Siku moja
tu baada ya mkwara uliopigwa na kocha wa Yanga, Ernie Brandts, wachezaji wawili
wa kimataifa wameanza mazoezi.
Mbuyu Twite
raia wa Rwanda na Didier Kavumbagu kutoka Burundi wameanza mazoezi.
Brandts
raia wa Uholanzi, jana alihoji kutotokea kwa wawili hao wakati hawakuwa
wameitwa katika timu zao za taifa zinazoshiriki Chalenji nchini Kenya.
Lakini leo
walikuwa kati ya wachezaji wa Yanga walioshiriki mazoezi kwenye Uwanja wa Bora,
Kijitonyama jijini Dar.
0 COMMENTS:
Post a Comment