OLJORO |
Mechi za jana (Novemba 7 mwaka huu) kati ya Yanga na
Oljoro imeingiza sh. 34,902,000 kutokana na watazamaji 6,045 ambapo kila klabu
imepata sh. 7,812,477.95.
Hiyo inaonyesha wazi kuwa kuchwa kwa mechi mbili kwa
siku moja katika jiji la Dar kumechangia kupungua kwa mapato hayo.
Kawaida, Yanga inapocheza mechi ya ligi, kiasi cha
chini kabisa huwa si chini ya Sh milioni 50.
Katika mechi hiyo ambayo Yanga ilishinda kwa mabao 3-0,
watazamaji walikuwa wachache na wadau wakasema suala la Azam TV kuonyesha mechi
pamoja na Mbeya City na Azam FC kucheza Chamazi ilichangia.
0 COMMENTS:
Post a Comment