Mechi kati ya Ashanti United na Simba iliyochezwa juzi
Uwanja wa Taifa imeingiza sh. 24,931,000 ambapo kila klabu ilipata mgawo wa sh.
5,333,590.
Mechi hiyo ilikuwa ni ya timu za Dar es Salaam
ilionekana kutovutia watu wengi zaidi, kitu ambacho si kawaida.
Lakini taarifa za kwamba, polisi walikuwa wakiwavizia
watu waliovunja viti katika mechi dhidi ya Kagera.
Hali hiyo ilisababisha watu wachache waende uwanjani
siku hiyo, huku vikundi vya ushangiliaji
vya Simba, vikiingia mitini.
0 COMMENTS:
Post a Comment