November 1, 2013


Mabingwa Yanga wameendelea kuongeza kasi ya kusaka pointi katika Ligi Kuu Bara baada ya kuibutua Ruvu Shooting kwa mabao 4-0.


Mabao ya Yanga yamefungwa na Mrisho Ngassa aliyepiga mawili, Oscar Joshua na Jerry Tegete aliyeingia kipindi cha pili.

Muda mwingi Yanga walitawala mchezo huo lakini walipoteza nafasi nyingi za kufunga mabao ambazo zingeweza kuwapa mabao mengi zaidi.


Muda mwingi JKT walionekana kupoteana na kutoa nafasi kwa Yanga kucheza wanavyotaka lakini tatizo lilikuwa ni kuzitumia nafasi hizo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic