December 12, 2013




Kwa mara ya pili mfululizo Kilimanjaro Stars imeambuliwa kipigo kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuchapwa na Zambia katika mechi ya kusaka mshindi wa tatu katika michuano ya Kombe la Chalenji.
 
Katika mechi hiyo iliyopigwa jijini Nairobi Kenya, Stars imefungwa mabao 6-5 ya mikwaju ya penalti na Zambia.
Timu hizo zilikwenda katika hatua ya mikwaju ya penalti baada ya kutoka sare ya bao 1-1, Kili stars ikisawazisha kupitia kwa Mbwana Samatta.

Pamoja na juhudi za kutaka kushinda mechi hiyo mapema, lakini ilishindikana hadi katika mikwaju ya penalti.

Kabla ya mechi hiyo, Kili Stars ilikutana na kipigo chabao 1-0 kutoka kwa wenyeji Kenya katika mechi ya nusu fainali.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic