December 3, 2013

 
SIWA (KULIA) AKIWA MAZOEZINI NA KASEJA NA MDOGO'AKE BARTHEZ
Makipa wawili wa Yanga, Juma Kaseja na Mustapha Ally ‘Barthez’ wameonyesha ushirikiano mkubwa mazoezini.


Kocha wa makipa wa Yanga, Razak Siwa amesema Kaseja na Barthez wameonekana si wageni kikazi.
“Wanashirikiana vizuri sana, hii inaonyesha ni watu waliofanya kazi pamoja hapo awali.
“Hiki ni kitu kizuri na matumaini makubwa kwamba mambo yatakwenda vizuri zaidi,” alisema Siwa.
Kaseja na Barthez, pamoja wamewahi kufanya kazi wakiwa Simba.

Lakini Barthez alitua Yanga, kabla ya Kaseja naye kurejea Yanga katika dirisha dogo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic