Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano
Ronaldo amezidi kubeba kura kila anapochaguliwa.
Katika kikosi bora cha Ulaya
kilichochaguliwa na vyombo vya habari na wachezaji hao kupigiwa kura, Ronaldo
amezidi kutamba.
Ronaldo amebeba kura 12 akionyesha kutawala
zaidi na kufuatiwa na Zlatan Ibrahimovic mwenye 10.
Wengine walipata kura 6, 4 na chini ya hapo
lakini inabaki kuwa Ronaldo ndiye mchezaji anayekubalika zaidi kwa sasa duniani








0 COMMENTS:
Post a Comment