January 23, 2014


Chelsea imeipiga bao Liverpool na kumsainisha mshambuliaji hatari wa FC Basle, Mohamed Salah.


Chelsea imemwaga pauni milioni 11 kumnasa raia huyo wa Misri ambaye amekuwa akiisumbua kila wanapokutana kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Salah sasa atafunga safari kutoka Uswiss na kuhamia London, England ambako ndiyo makao makuu ya Chelsea.


Kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers alionyesha nia ya kumnasa mshambuliaji huyo, lakini kuchelewa kwake, amekuta mwana si wake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic