February 1, 2014


Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic amesema leo watashambulia zaidi kuliko mechi dhidi ya Rhino ya Tabora.
Simba inacheza na JKT Oljoro katika mechi yake ya pili ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.

Logarusic amesema kikosi chake kitaongeza ufanisi wa kushambulia zaidi kutokana na maendeleo yao.
“Kama tumeshinda, tumepata pointi tatu na tumeangalia cha kufanya zaidi.
“Mechi ya pili tunaweza kushambulia zaidi kuliko ya kwanza, ingawa siwajui wapinzani lakini tunahitaji ushindi zaidi,” alisema Logarusic.
Mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili, Simba ilishinda kwa bao 1-0 lakini ilijilinda zaidi.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic