February 1, 2014



Kocha Mkuu wa Coastal Union, Ahmed Morocco ametamba kikosi chake kitaishinda Simba leo.


Morocco aliyekuwa kocha wa Coastal Union katika mzunguko wa kwanza amesema kama mwamuzi wa leo akiwa fair, Simba inalala Uwanja wa Taifa Dar.
“Sisi tunachotaka mwamuzi achezeshe kwa haki, halafu utaona, Simba hawatapona,” alisema.
“Tumejiandaa vizuri na tuna ari ya kushinda. Tunajua Simba ni wazuri, lakini kwa sasa kikosi chetu ni bora zaidi,” alisema.
Oljoro ilianza mzunguko wa pili kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Coastal Union ikiwa ugenini mjini Tanga.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic