February 11, 2014


Jose Mourinho amesema uwezo wa kamati ya nidhamu ya Ligi Kuu England kumuona kiungo Yaya Toure hana kosa ni tatizo.


Kiungo huyo wa Man City alimkanyaga mshambuliaji wa Norwich, Ricky van Wolfswinkel katika mechi ya Premiership.


Kutokana na hali hiyo sasa Yaya atakuwa katika kikosi kitakachoivaa Chelsea katika mechi ya 16 ya Kombe la FA, Jumamosi, City ikiwa nyumbani.
Ndiyo maana Mourinho amethubutu kusema hivyo kwa kuwa iliaminika lazima Yaya angefungiwa.

Kamati hiyo pamoja na kumsalimisha Yaya, imetoa adhabu kwa Craig Bellamy kwa kumshambulia kiungo wa Swansea, Jonathan de Guzman.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic