February 28, 2014


Kinadada wa Tanzania, Twiga Stars wameshindwa kutimiza ndogo zao za kucheza Kombe la Mataifa Afrika kwa mara nyingine.


Sare ya bao 1-1 dhidi ya Zambia maana yake wameng’oka kwa kuwa walipoteza mchezo wa kwanza wakiwa ugenini.
Mechi ya leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ilikuwa ya kusisimua.

Mashabiki walijitokeza kwa wingi kwa kuwa hakukuwa na kiingilio, lakini ikawa bahati mbaya kwa Tanzania.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic