March 1, 2014


Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, inaonyesha mapema alijua wanaibwaga Al Ahly.

Maana alijitokeza mapema na kuwaamsha mashabiki kwamba washangilie kwa nguvu vijana wao wataingia kazini.
Manji alifanya hivyo huku akionyesha kujiamini kupita kiasi, kabla ya kurudi ndani na baadaye akaonekana akiwa jukwaani.

Yanga ilimaliza dakika 90 kwa kuimaliza Al Ahly kwa bao 1-0 katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic