March 4, 2014

WACHEZAJI WAJERUMANI WA ARSENAL, OZIL, MERTESACKER NA PODOLSKI WAKIWA NA SCHURRLE WA CHELSEA.

Wachezaji mbalimbali kutoka Brazil na Ujerumani wamekutana kwenye ndege wakiwa safarini kurejea nyumbani.

Wanakwenda kuzichezea timu zao za taifa katika kalenda ya Fifa ya mechi za kirafiki.
WACHEZAJI WA WABRAZIL WA CHELSEA, OSCAR, LUIZ,WILLIAM, RAMIREZ WAKIWA NA BRUNO WA SHAKTAR (KULIA).


Kuonyesha utaifa mbele, ingawa baadhi wanatokea timu tofauti, lakini walijumuika kwa makundi wakionekana kufuata utaifa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic