March 15, 2014


Mashabiki kibao wa Simba sasa wamegeuza jezi yenye jina la mshambuliaji wa Yanga, Saidi Bahanuzi kama kiburudisho kwao.

Bahanuzi alikosa penalty wakati Yanga ilipopambana na Al Ahly, Jumapili iliyopita jijini Alexandria. Kama angefunga, basi Yanga ingekuwa imefuzu.
Awali jezi hiyo ilianza kusambaa katika mitanao mbalimbali ya kijaamii, lakini sasa mambo yamebadilika na inaanza kuonekana mitaani.

Idadi ya wanaovaa jezi iliyoandikwa Ahsante Bahanuzi imekuwa ikizidi kuonekana kwenye mitaa ya nini la Dar es Salaam.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic