June 16, 2014



Siku moja tu baada ya kusimamisha uchaguzi wa Simba, imegeuza na kusisitiza uchaguzi huo utafanyika Juni 29 kama ulivyopangwa.


Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya Simba, Dokta Damas Daniel Ndumbaro ‘DDN’ amewambia waandishi kuwa kila kitu kitakwenda kama kilivyopangwa.
Ndumbaro ameeleza makosa ya TFF kutaka kuzuia uchaguzi huo kwa madai kuwa lazima waunde kamati ya maadili kwanza.
ZAIDI TUNAWALETEA KWA KUWA KIKAO HICHO CHA KAMATI YA UCHAGUZI YA SIMBA NA WAANDISHI WA BAHARI KINAENDELEA.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic