Mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya Goal 50 ya mchezaji bora wa dunia.
Tuzo hiyo hutolewa na mtandao maarufu wa Goal.com, kila mwaka na Lionel
Messi ni kati ya washindi waliowahi kuibeba.
Kawaida huchaguliwa wachezaji bora 50 na katika taarifa iliyotolewa leo
na mhariri wa Goal.com nchini, Nicholas John, imeeleza Ronaldo ambaye ni nahodha wa Ureno ndiye ameibuka
mshindi.
Kwa niaba ya Goal.com, John ametoa listi ya wachezaji wote 50 ambao
wameongozwa na Ronaldo mwenye miaka 29.
Washindi wote wa Goal 50 2014
1. Cristiano Ronaldo (Real
Madrid)
2. Arjen Robben (Bayern
Munich)
3. Lionel Messi
(Barcelona)
4. Philipp Lahm (Bayern
Munich)
5. Thomas Muller (Bayern
Munich)
6. James Rodriguez (AS
Monaco)
7. Luis Suarez
(Liverpool)
8. Thibaut Courtois
(Atletico Madrid)
9. Arturo Vidal
(Juventus)
10. Sergio Ramos (Real Madrid)
11. Zlatan Ibrahimovic
(Paris Saint-Germain)
12. Ivan Rakitic
(Sevilla)
13. Angel di Maria (Real
Madrid)
14. Diego Costa (Atletico
Madrid)
15. Marco Reus (Borussia
Dortmund)
16. Toni Kroos (Bayern
Munich)
17. Robert Lewandowski
(Borussia Dortmund)
18. Aaron Ramsey
(Arsenal)
19. Yaya Toure
(Manchester City)
20. Miralem Pjanic (AS
Roma)
21. Mats Hummels
(Borussia Dortmund)
22. Manuel Neuer (Bayern
Munich)
23. Keylor Navas
(Levante)
24. Diego Godin (Atletico
Madrid)
25. Javier Mascherano
(Barcelona)
26. Gareth Bale (Real
Madrid)
27. Vincent Enyeama
(Lille)
28. Juan Cuadrado
(Fiorentina)
29. Eden Hazard (Chelsea)
30. Neymar (Barcelona)
31. Joel Campbell
(Olympiakos)
32. Blaise Matuidi (Paris
Saint-Germain)
33. Enzo Perez (Benfica)
34. Charles Aranguiz
(Internacional)
35. Asamoah Gyan (Al Ain)
36. Daley Blind (Ajax)
37. Gervinho (AS Roma)
38. Paul Pogba (Juventus)
39. Rafael Marquez (Leon)
40. Abdelmoumene Djabou
(Club Africain)
41. Robin van Persie
(Manchester United)
42. David Silva
(Manchester City)
43. Ciro Immobile
(Torino)
44. Serge Aurier (Toulouse)
45. Yoshito Okubo
(Kawasaki Frontale)
46. Matt Besler (Sporting
Kansas City)
47. Caner Erkin
(Fenerbahce)
48. Nadir Belhadj
(Al-Sadd)
49. Kim Shin-Wook (Ulsan
Hyundai)
50. Tim Cahill (New York
Red Bulls)
Washindi waliopita wa Goal 50:
• 2007/2008 Cristiano Ronaldo
• 2008/2009 Lionel Messi
• 2009/2010 Wesley Sneijder
• 2010/2011 Lionel Messi
• 2011/2012 Cristiano Ronaldo
• 2012/2013 Lionel Messi
0 COMMENTS:
Post a Comment