August 27, 2014



Simba imeendeleza wimbi la ushindi kwa kuichapa Mafunzo kwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan mjini haoa.
Mabao ya Simba yote mawili yalipatikana katika kipindi cha pili, akianza Elius Maguri katika dakika ya 63.
Shuti lake lilimshinda kipa Khalid Mahadhi, na dakika ya 71, Haruna Chanongo akafunga bao la pili.
Kiungo mkabaji wa Simba, Pierre Kwizera raia wa Burundi alipata balaa baada ya kuumia katika mchezo huo.
Katika mechi iliyopita ya kirafiki, Simba ilishinda kwa mabao 2-1.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic