Simba imeendeleza wimbi la ushindi kwa kuichapa Mafunzo kwa
mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan mjini
haoa.
Shuti lake lilimshinda kipa Khalid Mahadhi, na dakika ya 71,
Haruna Chanongo akafunga bao la pili.
Kiungo mkabaji wa Simba, Pierre
Kwizera raia wa Burundi alipata balaa baada ya kuumia katika mchezo huo.
Katika mechi iliyopita ya
kirafiki, Simba ilishinda kwa mabao 2-1.
0 COMMENTS:
Post a Comment