GLOBAL FC |
Timu ya Kampuni ya Global Publishers Limited, juzi
Jumamosi ilipokea kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Dar City inayoundwa na
wachezaji wengi wakubwa.
KAHABUKA |
Wengine ni mshambuliaji wa zamani wa Simba,
Clement Kahabuka, Baker Ranger na Chibwa walioonekana kuisumbua safu ya ulinzi
ya Global Publishers iliyoongozwa na Jimmy Haroub na Khaleed Said.
Katika mchezo huo, Global ndiyo walikuwa wa
kwanza kupata bao kwenye dakika ya 30 lililofungwa na Wilbert Molandi kwa
kumchambua kipa wa Dar City.
Bao hilo halikudumu baada ya Dar City
kusawazisha katika dakika 40 likifungwa na Kahabuka kabla ya kufunga mengine
mawili.
0 COMMENTS:
Post a Comment