PRISONS, LEO WAMEANZA KWA KUTOA KIPIGO |
Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mabatini Mlandini, Pwani, wenyeji ndiyo walikuwa sawa zaidikatika kipindi cha kwanza wakionekana kama vile watashinda.
Vijana wa David Mwamwaja walijitahidi kusawazisha mambo na kupata mabao mawili katika kipindi cha kwanza na cha pili.
Ruvu Shooting iko chini ya Mkenya, Tom Olaba ambaye ameungana na Marcio Maximo wa Yanga kuwa wageni waliopoteza mechi ya kwanza.
0 COMMENTS:
Post a Comment