October 24, 2014


Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Idd Pazi, amefunguka kuwa yupo tayari kutua Ndanda FC iwapo watamhitaji kwa kuwa ukocha ndiyo kazi yake inayomuweka mjini.


Kocha huyo ambaye alikuwa akiinoa Simba, amesema baada ya kuachwa na klabu hiyo, bado anatamani kuendelea kufundisha na kama Ndanda watamfuata yupo tayari kuchukua fursa hiyo.

“Kazi yangu ni ukocha na iwapo Ndanda watanifuata na kunitaka nikaifundishe timu yao, nipo tayari,” alisema Pazi.
Tayari nafasi ya Pazi imechukuliwa na, Zdravko Djekic Mzungu kutoka Serbia.
Hata hivyo, kipa huyo wa zamani wa Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic