October 14, 2014


Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool ambaye aliichezea timu yake ya taifa ya Uholanzi kwa takribani muongo mmoja, ameendelea kuonyesha mapenzi kwa taifa lake.

Kuyt alitupia picha kwenye mtando wa kijali akiangalia mechi ya kimataifa Uholanzi ikiitwanga Kazakhstan kwa mabao 3-1 akiwa na wanaye watatu.
Akaandika: “Kuyt katikati, Kuyt kulia, Kuyt kushoto, nawatakia kila la kheri wana.”
Alikuwa akiwatakia kila la kheri wachezaji wa Uholanzi, yeye akiwa Uturuki ambako anaicheze Fenerbahce.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic