December 14, 2014



Simba imeendelea kuweka rekodi kwa kuwa timu ya kwanza kutwaa makombe yanayoanzishwa.

Jana Simba imebeba Kombe la Nani Mtani Jembe kwa mara ya pili, ikiendelea kushikilia rekodi ya kulibaeba kwa mara ya pili mfululizo lakini ndiyo ya kwanza kulibeba mwaka jana lilipoanzishwa.

Simba ilikuwa ya kwanza kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ilipoanzishwa kwa mara ya kwanza.

Simba wakati huo ikijulikana kama Sunderland ilibeba ubingwa huo mwaka 1965, ikiwa ni mara ya kwanza kuanzishwa kwa ligi hiyo ikiwa imelenga kuipatia Tanzania mwakilishi kwenye Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika.

Ligi ilianzishwa ikiwa ni siku chache baada ya Rais wa Ghana, Kwame Nkurumah, kutoa kombe lililoanza kugombewa na klabu bingwa za Afrika.

Halafu Simba ikabeba Kombe la Cecafa kwa mara ya kwanza lilipoanzishwa tu mwaka 1974.

Lakini jana, imechukua ubingwa wa

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic