Kiungo Gabriel Paulista amejiunga
na Arsenal na wachambuzi wengi wa Hispania wametabiri atatoa msaada mkubwa
Emirates.
Paulista amejiunga na Arsenal
akitokea Villarreal ya Hispania napamoja na fedha pauni milioni 11.2 Arenal
imemtoa mshambuliaji wake Joel Campbell aende kwa mkopo katika timu hiyo.
Raia huto mwenye umri wa
miaka 24, anaamini kuwa mmoja wa viungo bora na wachamguzi wa soka katika
gazeti la Marca na AS wamesema Kocha Arsene Wenger ametupa jicho lake sehemu
sahihi.
|
0 COMMENTS:
Post a Comment