Zambia
imeanza michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya DR
Congo.
Mechi
nyingine kutoka Kundi B ni kati ya Tunisia dhidi ya Cape Verde ambayo pia
imemalizika kwa sare ya bao 1-1 pia.
Zambia
ndiyo walianza kufunga kupitia Given Singuluma kabla ya Wakongo hawajajibu
mapigo.
Katika
mechi ya usiku huu, Tunisia pia walianza kufunga na Cape Verde wakasawazisha
kwa mkwaju wa penalti na kufanya timu zote nne katika kundi hilo kuwa na pointi
moja tu.
0 COMMENTS:
Post a Comment