Pamoja na kwamba Emmanuel Adebayor anakaa benchi mara nyingi,
lakini ameamua kuonyesha alichonacho.
Namba imekuwa si kitu cha uhakika kwake katika kikosi cha
Tottenham.
Adebayor raia wa Togo ameamua kuonyesha mchuma anaomiliki aina ya Rolls-Royce.
Gari hilo lina thamani ya pauni 360,000, hivyo kumfanya mmoja wa
wachezaji wanaomiliki magari ghali katika wachezaji wa Ligi Kuu England.
0 COMMENTS:
Post a Comment